Posts

Showing posts from December, 2025
Image
πŸ¦† TANGAZO LA KUUZA BATA BUKINI πŸ¦† SHAMBA NEXT tunauza Bata Bukini wenye afya bora , wanaofaa kwa ✔️ Kula ✔️ Ufugaji ✔️ Msingi wa uzalishaji (mbegu) πŸ’° BEI ZETU πŸ¦† Bata Bukini Wakubwa – TZS 70,000 πŸ₯ Bata Bukini Wadogo (Vifaranga) – TZS 45,000 🚚 Tunatuma sehemu mbalimbali (kwa makubaliano) πŸ“ž Wasiliana nasi: 0785 670 227 (Piga / WhatsApp) πŸ‘‰ Wauzaji: SHAMBA NEXT πŸ”₯ Njooni tukushii zima! πŸ”₯  
Image
πŸ“’ TANGAZO LA KUUZA SUNGURA WENYE AFYA NJEMA πŸ‡ Tunauza sungura bora wenye: ✅ Afya njema ✅ Wanaokula vizuri ✅ Wafaa kwa mbegu na ufugaji wa biashara πŸ’° BEI πŸ‡ Sungura wakubwa: Tsh 45,000/= πŸ‡ Sungura wadogo: Tsh 25,000/= πŸ‘¨‍🌾 Muuzaji: SHAMBA NEXT πŸ“ž Mawasiliano: 078 567 0227 πŸ‘‰ Wasiliana nasi sasa kwa sungura bora kwa ufugaji wa uhakika na faida!  
 πŸ“’ TANGAZO LA KUUZA SUNGURA WENYE AFYA NJEMA πŸ‡ Tunauza sungura bora wenye: ✅ Afya njema ✅ Wanaokula vizuri ✅ Wafaa kwa mbegu na ufugaji wa biashara πŸ’° BEI πŸ‡ Sungura wakubwa: Tsh 45,000/= πŸ‡ Sungura wadogo: Tsh 25,000/= πŸ‘¨‍🌾 Muuzaji: SHAMBA NEXT πŸ“ž Mawasiliano: 078 567 0227 πŸ‘‰ Wasiliana nasi sasa kwa sungura bora kwa ufugaji wa uhakika na faida!
Image
πŸ“’ TANGAZO LA KUUZA SUNGURA WENYE AFYA NJEMA πŸ‡ Tunauza sungura bora wenye: ✅ Afya njema ✅ Wanaokula vizuri ✅ Wafaa kwa mbegu na ufugaji wa biashara πŸ’° BEI πŸ‡ Sungura wakubwa: Tsh 45,000/= πŸ‡ Sungura wadogo: Tsh 25,000/= πŸ‘¨‍🌾 Muuzaji: SHAMBA NEXT πŸ“ž Mawasiliano: 078 567 0227 πŸ‘‰ Wasiliana nasi sasa kwa sungura bora kwa ufugaji wa uhakika na faida!  
Image
  πŸŽ„πŸ“š OFA YA KRISMASI NA MWAKA MPYA πŸ“šπŸŽ„ PATA VITABU VYA KILIMO NA UFUGAJI KWA BEI NAFUU SANA! Je, unajiandaa kwa msimu wa kilimo na ufugaji mwaka 2025? Jipatie ujuzi wa kitaalam kupitia vitabu vyetu. Tunatoa punguzo kubwa la msimu! πŸ’° BEI ZA VITABU (KILA KITABU) SOFT COPY (PDF) - Tsh 1,500 /- Tu Inatumwa kwa WhatsApp/Email mara moja. HARD COPY (Chapisho) - Tsh 15,000 /- Kitabu cha karatasi, kimefungwa vizuri. πŸ“š ORODHA YA VITABU TUNAVYOUZA (Tsh 1,500 Soft au Tsh 15,000 Hard kila kitabu) πŸ„ UFUGAJI: Ufugaji wa Kuku wa Mayai (Layers) Ufugaji wa Kuku wa Nyama (Broilers) Ufugaji wa Ng’ombe wa Maziwa Ufugaji wa Nguruwe Ufugaji wa Mbuzi na Kondoo Ufugaji wa Samaki Ufugaji wa Nyuki 🌾 KILIMO: Kilimo cha Nyanya (Greenhouse & Open Field) Kilimo cha Mboga za Majani Kilimo cha Mahindi Kilimo cha Matunda (Machungwa, Pera) Kilimo cha Mihogo na Viazi Kilimo cha Karanga πŸ’³ NJIA ZA MALIPO (LIPA HAPA) Tunakaribisha malipo kupitia mtandao wowote ule. Tumia namba zifuatazo na Jina la Akaunti ni...
Image
πŸ“š VITABU BORA VYA UFUGAJI NA KILIMO TANZANIA πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Je, unajishughulisha na  kilimo au ufugaji  au unapanga kuanza? πŸ‘‰  SHAMBA NEXT  tunakuletea  vitabu vya kitaalamu, rahisi na vya vitendo  vitakavyokusaidia kuongeza uzalishaji na kipato. πŸ„πŸπŸ“πŸ–πŸ VITABU VYA UFUGAJI (Ufugaji wote unaofanyika Tanzania) Mbuzi (maziwa & nyama) Ng’ombe (maziwa & nyama) Kuku wa kienyeji Kuku wa kisasa (broiler & layers) Bata Kware Nguruwe Kondoo Sungura Nyuki Samaki (Sato, Kambale n.k.) Panya buku Ufugaji wa kisasa wa kibiashara 🌾🌽πŸ₯¬πŸŒπŸ VITABU VYA KILIMO (Kilimo chote kinachofanyika Tanzania) 🌱 Mazao ya Chakula Mahindi, Mpunga, Maharage, Viazi vitamu, Viazi mviringo, Mihogo, Mtama, Uwele, Ndizi, Kunde, Njugu mawe n.k. πŸ₯¦ Mboga mboga Nyanya, Vitunguu, Vitunguu saumu, Hoho, Pilipili, Biringanya, Kabeji, Karoti, Spinachi, Sukuma wiki n.k. 🍍 Matunda Embe, Machungwa, Nanasi, Papai, Tikiti maji, Parachichi, Zabibu, Tufaha n.k. 🌿 Kilimo cha Biashara Korosho, Kahawa,...
Image
🎯  WAFUGAJI! HILI NI TANGAZO LENU!  πŸŽ― Tuna mazao bora ya ufugaji: ✔️ Starter, Growers & Layers Mash ✔️ Dairy Meal & Concentrates ✔️ Antibiotics na Vaccines ✔️ Sprayers & Feeders ✔️ Egg Trays & Crates 🎁 PUNGUZO MAALUM kwa manunuzi makubwa! πŸš› Uwasilishaji haraka na salama UFUGAJI BORA = FAIDA BORA! πŸ’° πŸ“ž Wasiliana nasi: • 0785670227 • 0762212623  
Image
 Ili kuku watage mayai mengi na kwa ubora mzuri, wanahitaji mchanganyiko sahihi wa vitamini, madini na virutubisho. Hivi ndivyo muhimu zaidi:  Madini Muhimu 1. Calcium (Kalsiamu) Muhimu sana kwa ganda la yai na kuongeza utagaji Vyanzo: chokaa (limestone), maganda ya mayai yaliyochemshwa na kusagwa, oyster shell 2. Phosphorus (Fosforasi) Husaidia mifupa na matumizi sahihi ya calcium Iwe kwenye uwiano mzuri na calcium 3. Zinc Huongeza uzalishaji wa mayai na afya ya mfumo wa uzazi 4. Manganese Husaidia kutengeneza mayai vizuri na kuzuia mayai yasiyo na ganda 5. Sodium & Chloride (Chumvi kwa kiasi kidogo) Husaidia hamu ya kula na mmeng’enyo wa chakula  Vitamini Muhimu 1. Vitamin D3 Muhimu sana kwa ufyonzwaji wa calcium Bila D3, hata ukiwa na calcium ya kutosha, kuku hawatataga vizuri 2. Vitamin A Huongeza afya ya mfumo wa uzazi 3. Vitamin E Huongeza uzalishaji wa mayai na uwezo wa kutaga mfululizo 4. Vitamin B-complex (hasa B12, B2) Huongeza hamu ya kula, nguvu na utendaj...